Monoksidi kaboni ni gesi yenye hatari. Kuipumua ndani kunaweza kukufanya mgonjwa au hata kukuua.
Ni vigumu kujua kama monoksidi kaboni ipo – huwezi kuiona, kuinusa au kuisikia.
Mtu yeyote anaweza kuwa mgonjwa kutokana na monoksidi kaboni.
Watu wengine wanaweza kuwa wagonjwa zaidi kuliko wengine. Watu hawa ni:
Monoksidi kaboni inatengenezwa na kuchoma mafuta kama:
Vitu vingi vya kaya vinachoma mafuta hayo na kutengeneza monoksidi kaboni.
Monoksidi kaboni inaweza kukwama ndani nyumbani kwako, haswa wakati milango na madirisha yamefungwa. Hii inaweza kufanya monoksidi kaboni kuongezeka kwa viwango vya hatari.
Usilete ndani barbeki, grill au hita za nje za gesi katika nyumbani kwako. Hizo ni kutumia nje tu. Vitu hivi vinachoma mafuta kama gesi ya asili, kuni, na makaa (mawe madogo au marefu).
Ikiwa unatumia vitu hivi ndani ya nyumba, monoksidi kaboni inaweza kuongezeka haraka kwa viwango vya hatari.
Angalia vizuri mafunzo ya kitu kuona kama unapaswa kutumia ndani au nje ya nyumba.
Usitumie vitu vyenye injini ya petroli ndani nyumbani kwako au gereji, hata sio na milango na madirisha wazi.
Vitu vingine vinavyokuwa na injini za petrol ni:
Ikiwa unatumia hita ya gesi katika nyumbani kwako:
Ikiwa unaamua kuweka kengele ya monoksidi kaboni katika nyumbani kwako, unapaswa kufanya ifuatayo:
Inasaidia kufahamu dalili za ugonjwa kutokana na monoksidi kaboni.
Kadiri monoksidi kaboni unavyopumua, ndivyo dalili za ugonjwa zinavyozidi kuwa mbaya.
Kupumua kiasi kidogo zaidi cha gesi kunaweza kusababisha:
Kupumua kiasi kikubwa zaidi cha gesi kunaweza kusababisha:
Ikiwa mtu ana kizunguzungu au anazimia au amepoteza ufahamu, hii ni dharura. Piga simu Sifuri Mara Tatu (000).
Ikiwa mtu ana maumivu ya kichwa, kichefuchefu au anatapika au anahisi udhaifu:
Angalia tovuti hizi kujifunza zaidi juu ya njia za salama kupasha joto nyumba yako